Ta Ha 20:79 واضل فرعون قومه وما هدى ٧٩
Ukurasa 317 · Juzuu 16
وَأَضَلَّ
فِرۡعَوۡنُ
قَوۡمَهُۥ
وَمَا
هَدَىٰ
٧٩
Na Firauni aliwapoteza watu wake wala hakuwaongoa.
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na aliwapoteza Fir'awn watu wake kwa ukafiri aliyowapambia na ukanushaji, na hakuwafanya waandame njia ya uongofu.